Featured Post

NMB YATOA SH1.9 BILIONI KWA UJENZI WA MAGHALA

 

Na Mwandishi Wetu, Bariadi

BENKI ya NMB imetenga kiasi cha Dola za Marekani 817,204 (takriban Sh 1,920,429,400) kwa mwaka 2020 ambazo zitaelekezwa katika kuunga mkono juhudi za serikali kwenye ujenzi wa maghala ya kuhifadhia mazao ya wakulima nchini kote.

SOMA ZAIDI

Comments