Featured Post

MAGILI: MHANDISI WA MITAMBO ALIYEMKOSHA WAZIRI MKUU

Bw. Daudi Magili Magolyo akiwa amesimama katika mojawapo ya mashine alizozitengeneza wakati wa Maonesho ya Kilimo na Sherehe za Wakulima Nane Nane kwenye uwanja wa Nyakabindi mkoani Simiyu.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishuhudia wakati George Elias alipokuwa akisafisha mkonge kwa kutumia mashine iliyotengezwa Kishapu na mbunifu Daudi Magili Magolyo (hayupo pichani) wakati alipotembelea Maonesho ya Kilimo na Sherehe za Wakulima Nane Nane kwenye uwanja wa Nyakabindi mkoani Simiyu, Agosti 8, 2020. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Bibi Zainab Telack. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Na Daniel Mbega, Bariadi

KAMA Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asingepita katika banda la Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu na kukutana na ubunifu wa teknolojia ya hali ya juu, leo hii Daudi Magili Magolyo ‘Nkende’ asingekuwa anafahamika kwa Watanzania kama ilivyokuwa huko nyuma.

SOMA ZAIDI

Comments