Featured Post

TARI NALIENDELE KUJA NA TEKNOLOJIA ZA KUVUTIA NANENANE 2020 KANDA YA KUSINI

 

Kaimu Mkurugenzi wa Kituo cha Utafiti wa Kilimo TARI Naliendele, Dk. Fortunatus Kapinga (kushoto) akizungumza na wakuu wa idara mbalimbali wa kituo hicho mwishoni mwa wiki, wakati walipokuwa wakikagua mashamba ya mfano yaliopo Viwanja vya Maonesho Nanenane Ngongo mkoani Lindi ikiwa ni maandalizi ya maonesho hayo ya Kanda ya Kusini yatakayoanza Agosti 1, 2020. (Picha na Dotto Mwaibale).

Na Dotto Mwaibale, Mtwara

KITUO cha Utafiti wa Kilimo TARI Naliendele kilichopo mkoani Mtwara kinatarajia kuonesha teknolojia za kilimo za kuvutia katika Maonesho ya Nanenane 2020 Kanda ya Kusini yatakayofanyika Viwanja vya Ngongo mkoani Lindi.

SOMA ZAIDI

Comments