Featured Post

MKAPA NA KAULI ZAKE ZA MWISHO

Na Waandishi Wetu, Dodoma

TAIFA linaendelea kuomboleza kifo cha Rais mstaafu Benjamin Mkapa (82) huku akikumbukwa katika hafla mbili tofauti alizohudhuria mjini Dodoma, alipotoa kauli zilizokuwa zikimpa Rais John Magufuli nguvu ya kusonga mbele katika kuleta maendeleo.

SOMA ZAIDI

Comments