Featured Post

KOMESHA WIZI WA WATOTO, BODABODA NA GARI KWA KUTUMIA TRACKING DEVICE


Utekaji nyara wa watoto na wizi wa vyombo vya moto umeenea sana nchini Tanzania kiasi cha kutishia usalama wa jamii.
Sasa je, unataka kufuatilia aliko mtoto wako aliyekwenda shule, gari lako, pikipiki (bodaboda), au bajaj yako, biashara zako na mambo mengine mengi?
Huwezi kufunga CCTV kila mahali, lakini sasa UFUMBUZI umepatikana wa kukuwezesha kupata taarifa zote unazohitaji ikiwa ni pamoja na kuzuia uhalifu.
Pata Tracking Device maalum ambayo siyo tu itakuletea taarifa muhimu, lakini pia pamoja na mahali gari, bodaboda, bajaj yako iliko, mtoto wako aliko, yanayoendelea kwenye sehemu yako ya biashara na mambo kadha wa kadha. Linaweza kuwa jambo geni, lakini wale waliopata kupotelewa na vyombo vya moto au kupoteza wapendwa wao hasa madereva wa bodaboda wanaotekwa na watu wasiojulikana wanatambua uchungu walioupata, na wanaweza kuuona umuhimu wa kuwa na kifaa cha aina hii.
Ni kifaa cha kisasa ambacho chenyewe kitakupigia simu kujua kinachoendelea na kukutumia ujumbe (sms) kuhusu eneo husika.
Kifaa hiki kitasaidia kukomemsha wizi wa vyombo vyetu vya moto na kutoa ulinzi hata kwa watoto wetu wanapokuwa mbali nasi.
-         Kinachajiwa kwa umeme na chaji inadumu kwa siku 7 kabla ya kuchaji tena.
-         Kinaingia laini ya simu ya kawaida.
-         Kinaunganishwa na namba 4 tofauti za simu ambako kitapeleka ujumbe na kipiga simu chenyewe.
-         Ni lazima utumie smart phone.

Kinapatikana kwa gharama nafuu ya Shs. 250,000.
Kwa mawasiliano, piga: +255 656 331974/+255 716 775334.



Comments