Featured Post

MAKAMU WA RAIS AFUNGUA JENGO LA OFISI YA MKURUGENZI ITILIMA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikata utepe pamoja na viongozi wa mkoa wa Simiyu kama ishara ya ufunguzi wa jengo la Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima lenye vyumba 43 vya kufanyia kazi. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais).




Comments