- Get link
- Other Apps
Featured Post
Posted by
Unknown
on
- Get link
- Other Apps
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (Wa tatu kulia), akizungumza na Rais wa
Kampuni ya China Civil Engineering Construction Cooporation (CCECC) Bw. Zhao
Dianlong kuhusu maendeleo ya ujenzi wa
barabara za maingiliano katika eneo la Ubungo (Ubungo interchange), leo
jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (Wa pili kulia), akizungumza na Makamu wa
Rais wa kampuni ya China Harbour Engineering Company Ltd Bw. Liyi .. kuhusu
upanuzi wa Bandari ya Dar es Salaam, Leo Jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa kampuni ya
China Harbour Engineering Company Ltd Bw. Li-yi (Wa tatu kulia), akifafanua
jambo kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (Wa
pili kushoto), kuhusu shughuli za Upanuzi wa Bandari ya Dar es Salaam, leo
jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (Wa pili kulia) akizungumza na Balozi wa Jamhuri
ya Korea nchini Tanzania Bw. Song
Geum-young (Kulia), kuhusu miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na
nchi yake hapa nchini.
Balozi wa Jamhuri ya Korea Bw. Song Geum-young (Kulia) akifafanua jambo kwa Waziri wa Ujenzi,
Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (Wa tatu kulia), kuhusu
maendeleo ya Miradi mbalimbali nchini.
Picha na Wizara ya Ujenzi,
Uchukuzi na Mawasiliano
Comments
Post a Comment