- Get link
- X
- Other Apps
Featured Post
Posted by
Unknown
on
- Get link
- X
- Other Apps
Mratibu wa Chama cha Wanasheria
wanawake Tanzania Mkoani Tanga (Tawla) Latifa Ayoub akisisitiza jambo
wakati wa mafunzo hayo leo
| Juma Abdallah kutoka Tawla Mkoani wa Tanga akitoa mada kuhusu wajibu wa familia na jamii kuzuia uhalifu wa watoto |
Mwanasheria wa Chama cha
Wanasheria wanawake Tanzania Mkoani Tanga,Adolphina Mbekinga akizungumza
wakati akiwasilisha mada ya mfumo wa haki jinai kwa watoto Tanzania na
Taratibu zake (2&3)
| Mratibu wa dawati la Jinsia na watoto Mkoa wa Tanga akizungumza katika mafunzo hayo |
| Mkuu wa kituo cha Polisi Chumbangeni Mkoani Tanga, Mrakibu Msaidizi wa Polisi,ASP Saidi Mwagara akifuatilia taarifa mbalimbali wakati wa mafunzo hayo. |
Baadhi ya washiriki wa mafunzo
hayo wa pili kutoka kushoto ni Mkuu wa Polisi wilaya ya Tanga (OCD)
akifuatiwa na Mrakibu Mwandamizi wa Jeshi hilo(SSP) Emanuel
Minja
| Mratibu wa Chama cha Wanasheria wanawake Tanzania Mkoani Tanga (Tawla) Latifa Ayoub kulia akifutilia masuala mbalimbali kwenye semina hiyo |
Mkuu wa kituo cha Polisi
Chumbageni Mkoani Tanga,Saidi Mwagara kushoto ni Mwendesha Mashtaka
wilaya ya Handeni,Selemani Kawambwa wakifuatilia mafunzo
hayo
| Hakimu Mkazi Hilda Lyatuu kulia katikati ni Wakili wa Serikali Rebecca Msalangi wakifuatilia mada mbalimbali kwenye semina hiyo,Habari kwa Hisani ya Blog ya Kijamii ya Tanga Raha |
Comments
Post a Comment