Featured Post

BENKI YA WATU WA ZANZIBAR VIFAA KWA UONGOZI WA TIMU YA PBZ KUSHIRIKI MICHUANO YA MEI MOSI 2017


Meneja Masoko wa Benki ya Watu wa Zanzibar Ndg Mussa Mvita, akimkabidhi Seti ya Jezi Nahodha wa Timu ya PBZ Ndg Hassan Maulid, kwa ajili ya kuweza kushiriki vizuri katika michuano ya Kombe la Mei Mosi linalojumuisha Timu za Wafanyakazi wa Serikali na Mashirika ya Umma yanayotarajiwa kufanyika wiki ijayo katika Uwanja wa Amaan Zanzibar, wakishuhudia Viongozi wa Timu ya PBZ, hafla hio ya makabidhiano ya vifaa hivyo vya michezo yamefanyika katika Ofisi ya Benki hiyo Darajani Zanzibar. 
Meneja Masoko wa Benki ya Watu wa Zanzibar Ndg Mussa Mvita,mwenye kati akimkabidhi Seti ya Jezi Nahodha wa Timu ya PBZ Ndg Hassan Maulid na kulia Katibu wa Timu ya PBZ Ali Mwinyijuma.






Comments