Featured Post

TANGA UWASA YAWAPIGA MSASA WAANDISHI WA HABARI

 Mtaalamu wa Mazingira wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Ramadhani Nyambuka akisistiza jambo kwa waandishi wa habari kuhusu huduma kwa mteja wakati wa semina ya waandishi wa habari kuelekea kilele cha maadhimisho ya wiki ya maji Machi 22 mwaka huu
 Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Dorra Killo akizungumza jambo wakati wa kikao hicho leo


 Afisa Ankra wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga( Tanga Uwasa) Ruluani Luambo akisistiza jambo wakati wa semina hiyo
  Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Dorra Killo akifuatilia matukio mbalimbali kwenye semina hiyo
 Mwandishi wa Shirika la Utangazaji la Tanzania (TBC) Joachim Kapembe akiuliza swali kwenye semina hiyo kulia ni Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Dorra Killo

 Waandishi wa Habari Jijini Tanga wakifuatilia matukio mbali mbali

Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Mhandisi Joshua Mgeyekwa akizungumza na waandishi wa habari jana kuhusu wiki ya kuadhimisha wiki ya maji iliyoanza Machi 16 hadi Machi 22 mwaka huu kulia kwake ni Meneja Rasilimali watu na Utawala wa Mamlaka hiyo,Haika Ndalama
Habari kwa Hisani ya Blog ya Kijamii ya Tanga Raha.

Comments