Featured Post

DOKTA NCHIMBI AHIMIZA KILIMO CHA MUHOGO ILI MKOA WA SINGIDA UWE MZALISHAJI MKUBWA WA ZAO HILO NCHINI

Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi (mwenye kitambaa cha pink) akisaidiwa kuvuna muhongo aliozawadiwa na mkulima wa kijiji cha Mwankonko Manispaa ya Singida Gideoin Itambu juzi alipofanya ziara katika Manispaa ya Singida kukagua shughuli za kilimo.
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi (mwenye kitambaa cha pink) akisaidiwa kuvuna muhongo aliozawadiwa na mkulima wa kijiji cha Mwankonko Manispaa ya Singida Gideoin Itambu juzi alipofanya ziara katika Manispaa ya Singida kukagua shughuli za kilimo.
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi akikagua shamba la  muhongo kwenye shamba la mkulima wa kijiji cha Mwankoko Manispaa ya Singida Gideion Itambu juzi na kuagiza shule zote za Msingi na Sekondari Mkoani Singida kuhakikisha zinakuwa na shamba la muhongo lisilopungua ekari  moja kwa ajili ya chakula cha wanafunzi na nusu ekari kwa ajili ya chakula cha walimu.
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi akipanda muhongo kwenye shamba la mkulima wa kijiji cha Mwankoko Manispaa ya Singida Gideon Itambu.

Comments