Featured Post

WAZIRI MHAGAMA ATEMBELEA TAASISI ZA ELIMU BUKOBA MJINI



Waziri Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu Jenista Mhagama akiwa na baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi Mugeza Viziwi iliyopo manispaa ya Bukoba alipowatembelea leo shuleni hapo.


Waziri Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu Jenista Mhagama akiwa na baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi Mugeza Mseto iliyopo manispaa ya Bukoba alipowatembelea leo shuleni hapo.
Waziri Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu Jenista Mhagama akisalimiana na Mwalimu Mkuu Msaidizi wa shule ya msingi Mugeza Mseto iliyopo Manispaa ya Bukoba Joseph Rubago.
(Picha na Eleuteri Mangi, MAELEZO, Bukoba)


Comments