Featured Post

MBUNGE GODBLESS LEMA AKAMATWA NA POLISI

Habari zilizotufikia hivi punde ni kuwa Askari Polisi walivamia nyumbani kwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Mh Godbless Lema (pichani) alfajiri ya leo na kumkamata.

Hivi sasa yupo central police ya Arusha.

Sababu za kukamatwa kwake haijajulikana bado....

Tutawajuza kila kitakachokuwa kinajiri

CHANZO: JAMII FORUMS

Comments