- Get link
- Other Apps
Featured Post
Posted by
Maendeleo Vijijini
on
- Get link
- Other Apps
Na Daniel Mbega
KAMA mnyama
yeyote sungura wanahitaji utunzaji mwema ili waweze kuzalisha kwa wingi.
Wanahitaji
kujengewa chumba maalum (tumeona katika ujenzi wa mabanda bora) na kuangaliwa
kila siku na kuhakikisha usafi wa vyumba hivi.
Na kama
watoto wa binadamu, pia sungura wanahitaji kupewa chakula kisafi cha hali ya
juu kilicho na madini ya protini na kalsiamu na pia kupewa maji safi.
PATA
MWONGOZO UTAKAOKUSAIDIA KATIKA UFUGAJI NA JINSI YA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO
MBALIMBALI YAKIWEMO MAGONJWA.
WASILIANA
NA DANIEL MBEGA KWA SIMU HII +255 656 331974 ILI UPATE NAKALA YAKO SASA KWA
GHARAMA NAFUU KABISA YA SHS. 20,000/= TU!! … FUATA LINK HII UPATE MAELEZO
ZAIDI.
Comments
Post a Comment