Featured Post

HII NDIYO KATIBA YA YANGA YA MWAKA 1968!




Na Daniel Mbega
JUNI 11, 2016 Yanga ilifanya uchaguzi uliomrudisha madarakani mwenyekiti wake Yussuf Mehboob Manji, ambaye ametangaza kuachia ngazi hivi karibuni.
Kulikuwa na mvutano mkubwa wakati wa kuelekea uchaguzi huo ambapo hatimaye Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) likasema kwamba uchaguzi wa klabu hiyo ungefanyika chini ya katiba iliyosajiliwa Msajili wa Vyama na Klabu wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT).

Lakini klabu hiyo kongwe kabisa nchini Tanzania ilipata katiba yake ya kwanza mwaka 1968 kabla ya kuwepo kwa hizi ambazo zimekuwa zikilumbaniwa.
Katiba hiyo iliandaliwa na Mzee Mangara Tabu Mangara, mtu muhimu katika historia ya klabu hiyo ambaye hata hivyo alitimuliwa na kundi la wanachama lililojiita ‘Yanga Bomba’ mwaka 1976 baada ya kuvuliwa ubingwa wa Afrika Mashariki na Kati na klabu ya Luo Union ya Kenya.
Mangara, pamoja na wachezaji waliofukuzwa Yanga, wakaenda kuanzia klabu ya Pan African na ndio ukawa mwanzo na asili ya Yanga-Raizoni na Yanga-Kandambili.
Hii hapa ndiyo katiba ya kwanza ya Yanga yam waka 1968:
 


Comments