- Get link
- X
- Other Apps
Featured Post
Posted by
Maendeleo Vijijini
on
- Get link
- X
- Other Apps
Rais Uhuru Kenyata wa Kenya amewapa kazi vijana wa mtaani watakapo muona Traffic akipokea mlungula au Rushwa wamkamate na wampeleke Kekukuru ya Kenya kama vile kwetu Takukuru.
Aidha, Rais Uhuru amesema Polisi wamezidi sana kujiona wako juu ya sheria kwa hiyo ameamua kuwapa malaka RAIA wawakamate na kuwafikisha Kekukuru.
"Watanzania na sisi tunaomba Mheshimiwa Magufuli aturuhusu tufanye kazi hiyo nchi ni ya wananchi siyo ya Polisi hawezekani tuishi kwa hofu wakati nchi ni yetu sote,,,,,,,, ili haki isimame tusionewe kila mara na kuombwa rushwa," wanasema baadhi ya wananchi.
Comments
Post a Comment