Mkurugenzi wa Mtandao wa Tigo kwa kanda ya Ziwa Ali Maswanya(wa pili kulia) na mkazi wa kijiji cha Ulowa 4 wilayani Ushetu mkoani Shinyanga Magreth Charles wakikamua maji kwenye kisima kilichojengwa kijijini hapo na mtandao huo chenye thamani ya shilingi milioni16/- , wakati wa Uzinduzi.
|
Comments
Post a Comment