Mhamasishaji wa vijana Mussa Mashauri akitoa mada kuhusu Vijana na Utendaji kazi katika warsha hiyo iliyoandaliwa na Asasi ya Fedha iliyofanyika katika chuo na Kilimanjaro Insitute college na kuwakutanisha wanachuo zaidi ya 200 toka chuo cha UDSM,Ustawi wa jamii, Teku , St Joseph na Kilimanjaro Insitute college na kushoto kwake ni Murungezi Mtendaji wa KONCEPT na Mhamasishaji wa Vijana Krantz Mwantepele mapema mwisho wa wiki iliyopita. |
Comments
Post a Comment