Mkufunzi na Msimamizi Mkuu wa Mashamba ya Chuo cha Kilimo MATI
Mtwara, Luca Chiwalo, akizungumzia kilimo cha zao la korosho kwa waandishi wa
habari (hawapo pichani) waliotembelea shamba la chuo hicho hivi karibuni
lililopo Naliendele mkoani humo. (Picha na Dotto Mwaibale).
Na
Dotto Mwaibale, Mtwara
CHUO cha
Mafunzo ya Kilimo cha ‘Mati Mtwara’ kimezidi kung'ara na kusonga mbele kwa
kupanua wigo kwenye eneo la mafunzo ya uzalishaji wa mazao ya kilimo, na sasa
kipo mbioni kuboresha mfumo wake wauzalishaji mali ili kwenda sambamba na
mahitaji ya soko.
SOMA ZAIDI
Comments
Post a Comment