Mhe. Waziri Hasunga.
NA
K-VIS BLOG/KHALFAN SAID
MKUTANO
wa siku mbili wa Wafanyabiashara wa Nafaka Ndani na Nje ya Nchi umefunguliwa na
Waziri wa Kilimo Mhe. Japhet Hasunga kwenye ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha
Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo Agosti 29, 2019.
Comments
Post a Comment