Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itaendelea kujenga miundo mbinu ya barabara hasa za ndani kwa ajili ya kuwawezesha wakulima kuyafikia masoko.
Makamu
wa Rais ameyasema hayo wakati akihutubia mkutano wa hadhara katika
kijiji cha Kapunga wilayani Mbarali mkoani Mbeya ikiwa ni muendelezo wa
ziara yake ya kukagua na kuhamasisha shughuli za maendeleo. “Serikali
Rice Project Ltd kitakacho hudumia watu zaidi ya elfu 10 na kulaza
wagonjwa 42 kwa wakati mmoja. Kituo cha Afya Kapunga ambapo Makamu wa Rais Mh Samia Suluhu Hassan aliweka jiwe la msingi. Sehemu ya Wakazi wa kijiji cha Kapunga waliohudhuria mkutano wa Makamu wa Rais. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Comments
Post a Comment