Waziri wa Ujenzi,
Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Issack Kamwelwe akizungumza na Watendaji,
Watumishi na Wananchi mbalimbali waliohuduhuria katika hafla ya kuanza kazi kwa
ndege mpya ya Serikali ya Boeing 787-8 Dreamliner iliyoanza kazi zake leo
Jumapili Julai 29, 2018. Kushoto ni Mkoa wa Mwanza John Mongella, na Mwenyekiti
wa CCM Mkoa wa Mwanza, Antony Diallo.
Katibu Mkuu wa
Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Dkt. Leonard Chamuriho akisalamiana
na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira muda mfupi baada ya kushuka katika
ndege ya Serikali ya Boeing 787-8 Dremaliner iliyoanza safari zake leo Jumapili
Julai 29, 2018. Ndege hiyo itaanza kufanya safari zake katika Mikoa mitatu ya
Dar es Salaam, Mwanza na Kilimanjaro.
Comments
Post a Comment