Waziri
wa Mifugo na Uvuvi, Mhe Luhaga Mpina(aliyekaa katikati) akiwa katika
picha ya pamoja na Wajumbe wa Kamati Ndogo ya Kutathmini Utendaji wa
Sekta ya Uvuvi katika Ziwa Victoria baada ya kukabidhi taarifa hiyo
mjini Dodoma hivi karibuni.Waliokaa kuanzia kushoto Mwenyekiti wa Kamati
hiyo, Mhandisi Bonaventure Baya Kulia ni Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo
na Uvuvi anayeshughulikia Uvuvi, Dk Yohana Budeba, aliyesimama kuanzia
kushoto John Komakoma Kaimu Meneja wa MPRU.
Comments
Post a Comment