Waziri
wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu
akizungumza na waandishi wa habari jijini Tanga wakati akitangaza kuwa
serikali ipo tayari kumpeleka kwenye matibabu mahali popote duniani
mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki Tundu
Lisu.
|
Comments
Post a Comment