Ushirika ukitumika vizuri utasaidia sana kukuza kilimo pamoja na kipato cha wakulima na taifa kwa ujumla. Lakini katika miaka ya sasa ushirika umekuwa hauna manufaa makubwa kwa wakulima ambapo viongozi hufisidi vyama pamoja na kuwakopa wakulima mazao yao.
Comments
Post a Comment