- Get link
- Other Apps
Featured Post
Posted by
Maendeleo Vijijini
on
- Get link
- Other Apps
Rais wa Umoja wa Wanamuziki Tanzania (TAMUFO), Dk.Donald Kisanga akijadiliana jambo na mshiriki wa mkutano huo kutoka Botswana, Tumelo Keay.
Rais wa Umoja wa Wanamuziki Tanzania (TAMUFO), Dk.Donald Kisanga akijadiliana jambo na mshiriki wa mkutano huo kutoka, Rwanda.
Rais wa Umoja wa Wanamuziki Tanzania (TAMUFO), Dk.Donald Kisanga, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa mkutano huo kutoka nchi za Afrika.
Rais wa Umoja wa Wanamuziki Tanzania (TAMUFO), Dk.Donald Kisanga, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa mkutano huo kutoka nchi za Afrika. Kushoto ni Katibu wa TAMUFO, Stellah Joel.
Washiriki wa mkutano huo kutoka nchi 12 za Afrika wakiwa katika picha ya pamoja.
Comments
Post a Comment