- Get link
- Other Apps
Featured Post
RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MAKAMU MKUU WA CHUO KIKUU CHA BAGAMOYO PROFESA COSTA MAHALU IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
Posted by
Maendeleo Vijijini
on
- Get link
- Other Apps
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe
Magufuli akiagana na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Bagamoyo(University of
Bagamoyo UB) Profesa Costa Mahalu mara baada ya kufanya nae mazungumzo Ikulu
jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe
Magufuli akimsikiliza Makamu Mkuu wa
Chuo Kikuu cha Bagamoyo (University of Bagamoyo UB) Profesa Costa Mahalu mara
baada ya kufanya naye mazungumzo Ikulu jijini Dar es Salaam. Wa kwanza kulia ni
mtoto wa Profesa Mahalu ambaye ni Mwanasheria wa Kijitegemea Jaja Costa Mahalu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe
Magufuli akiagana na mtoto wa Profesa Mahalu ambaye ni Mwanasheria wa
Kijitegemea Jaja Costa Mahalu mara baada ya kumaliza mazungumzo na Makamu Mkuu
wa Chuo Kikuu cha Bagamoyo(University of Bagamoyo UB) Profesa Costa Mahalu
Ikulu jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU
Comments
Post a Comment