- Get link
- Other Apps
Featured Post
Posted by
Maendeleo Vijijini
on
- Get link
- Other Apps
Sehemu ya mifuko ya Saruji iliyotolewa na WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii Jinsia,Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu na Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa Tanga |
WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii Jinsia,Wazee na
Watoto,Ummy Mwalimu na Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa Tanga katikati akipokea cheti cha kutambua mchango wake kusaidia maendeleo ya Jiji la Tanga kutoka kwa Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga,Alhaj Mustapha Selebosi kushoto ni Diwani wa Kata ya Maweni,Joseph Calvas
Watoto,Ummy Mwalimu na Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa Tanga katikati akipokea cheti cha kutambua mchango wake kusaidia maendeleo ya Jiji la Tanga kutoka kwa Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga,Alhaj Mustapha Selebosi kushoto ni Diwani wa Kata ya Maweni,Joseph Calvas
Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga,Alhaj Mustapha Selebosi kulia akimkabidhi cheti cha kutambua mchango wao katika kuinua sekta ya elimu kwenye Kata ya Maweni Diwani wa Kata hiyo kushoto Joseph Calvas |
Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga,Alhaj Mustapha Selebosi katika akimshukuru WAZIRI
wa Afya, Maendeleo ya Jamii Jinsia,Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu na
Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa Tanga kulia kwa kusapoti elimu katika
Jijini hilo baada ya kupokea mifuko 200 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa
vyumba vitatu vya madarasa katika shule ya Sekondari Maweni
Afisa Elimuy Sekondari Jiji la Tanga,Lusajo Gwakisa akizungumza na waandishi wa habari ambapo walimshukuru WAZIRI
wa Afya, Maendeleo ya Jamii Jinsia,Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu na
Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa Tanga kulia kwa kusapoti elimu katika
Jijini hilo baada ya kupokea mifuko 200 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa
vyumba vitatu vya madarasa katika shule ya Sekondari Maweni
WAZIRI wa Afya, Maendeleo
ya Jamii Jinsia,Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu na Mbunge wa Viti Maalumu
mkoa wa Tanga akisaini kitabu cha wageni katika shule ya Sekondari
Maweni Jijini Tanga katikati Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga,Alhaj Mustapha Selebosi kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Tanga,Ramadhani Posi
WAZIRI wa Afya, Maendeleo
ya Jamii Jinsia,Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu na Mbunge wa Viti Maalumu
mkoa wa Tanga akiteta jambo na Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Tanga,Ramadhani Posi
WAZIRI wa Afya, Maendeleo
ya Jamii Jinsia,Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu na Mbunge wa Viti Maalumu
mkoa wa Tanga akipiga picha ya pamoja na walimu wa shule ya sekondari
Maweni Jijini Tanga
WAZIRI wa Afya, Maendeleo
ya Jamii Jinsia,Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu na Mbunge wa Viti Maalumu
mkoa wa Tanga katikati akiteta jambo na Mwalimu Mkuu wa shule ya
Sekondari Maweni Zawadi Ponera kulia
WAZIRI wa Afya, Maendeleo
ya Jamii Jinsia,Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu na Mbunge wa Viti Maalumu
mkoa wa Tanga akitembelea maeneo mbalimbali katika shule hiyo kushoto ni
diwani wa Kata ya Maweni,Joseph Calvas na kulia ni Mwalimu Mkuu wa
shule hiyo Zawadi Ponera
WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya
Jamii Jinsia,Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu na Mbunge wa Viti Maalumu
mkoa wa Tanga akimsikiliza kwa umakini Mstahiki Meya wa Jiji la
Tanga,Alhaji Mustapha Selebosi kulia ni Kaimu Mhandisi wa Jiji la Tanga
Mussa Mkomola (Habari kwa Hisani ya Blog ya Kijamii ya Tanga Raha)
Comments
Post a Comment