- Get link
- Other Apps
Featured Post
Posted by
Unknown
on
- Get link
- Other Apps
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akivuta utepe kuashiria ufunguzi wa Kituo cha Kisasa cha Mabasi cha Korogwe
mjini mkoani Tanga.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe
Magufuli akihutubia wananchi waliofika katika ufunguzi huo wa Kituo cha Kisasa
cha Mabasi cha Korogwe mjini mkoani Tanga.
Taaswira ya wananchi mbalimbali waliohudhuria hafla ya ufunguzi
wa Kituo cha Kisasa cha Mabasi cha Korogwe mjini mkoani Tanga.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe
Magufuli akiagana na mananchi mara baada ya kufungua Kituo cha Kisasa cha
Mabasi cha Korogwe mjini mkoani Tanga.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza jambo na Naibu Waziri wa Tamisemi Selemani Jafo kabla ya kufungua
rasmi Kituo hicho cha Kisasa cha Mabasi cha Korogwe mjini mkoani Tanga. PICHA
NA IKULU
Comments
Post a Comment