- Get link
- Other Apps
Featured Post
Posted by
Unknown
on
- Get link
- Other Apps
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza
na wakulima, wadau wa kilimo na wananchi kwa ujumla wakati wa kufunga maadhimisho
ya sikukuu ya wakulima, (Nane nane) ambayo kitaifa yamefanyika katika viwanja
vya Ngongo, Manispaa ya Lindi leo tarehe 8 Agosti 2017.(Picha zote na Mathias Canal)
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan (Kushoto)
akijadili jambo na Mbunge wa Viti maalumu mkoa wa Lindi Mhe Salma Kikwete wakati
alipotembelea Mabanda ya Maonesho ya Nanenane katika viwanja vya Ngongo,
Manispaa ya Lindi leo tarehe 8 Agosti 2017.
Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi, Mhe Dkt. Charles Tizeba akisisitiza jambo kabla ya kufungwa kwa Maonesho ya Nanenane katika viwanja vya
Ngongo, Manispaa ya Lindi leo tarehe 8 Agosti 2017.
Comments
Post a Comment