- Get link
- Other Apps
Featured Post
Posted by
Unknown
on
- Get link
- Other Apps
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini
IGP Simon Sirro, akitoa maelekezo kwa Maofisa Wakuu Waandamizi wa Makao Makuu ya
Jeshi la Polisi pamoja na Wakuu wa Vikosi na Vyuo vya Polisi nchini katika
kikao kazi cha maelekezo kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam. Katika kikao
kazi hicho IGP Sirro aliwaelekeza Maofisa hao kufanya kazi kwa weledi ili
kuweza kufikia malengo ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli, ya kuwa na Tanzania salama isiyo na uhalifu. Picha na
Jeshi La Polisi.
Mkuu wa Utawala wa Makao Makuu
ya Polisi, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Leonard Paulo, akitoa ufafanuzi wa
jambo wakati wa kikao kazi cha Inspekta Jenerali wa polisi nchini IGP Simon
Sirro na Maofisa Wakuu Waandamizi wa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi pamoja na Wakuu
wa Vikosi na Vyuo vya Polisi nchini kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam. Katika
kikao kazi hicho IGP Sirro aliwaelekeza Maofisa hao kufanya kazi kwa weledi ili
kuweza kufikia malengo ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli, ya kuwa na Tanzania salama isiyo na uhalifu. Picha na
Jeshi La Polisi.
Mkuu wa Chuo cha Maafisa wa
Polisi Kidatu, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Zarau Mpangule, akitoa mada wakati wa kikao
kazi cha Inspekta Jenerali wa polisi nchini IGP Simon Sirro na Maofisa Wakuu
Waandamizi wa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi pamoja na Wakuu wa Vikosi na Vyuo
vya Polisi nchini kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam. Katika kikao kazi
hicho IGP Sirro aliwaelekeza Maofisa hao kufanya kazi kwa weledi ili kuweza
kufikia malengo ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli, ya kuwa na Tanzania isiyo na uhalifu. Picha na Jeshi La Polisi.
Comments
Post a Comment