Featured Post

WAZIRI MWIGULU AKUTANA NA KAIMU BALOZI WA MAREKANI KUJADILI MASUALA YA USALAMA NA MAENDELEO KWA MASHIRIKA NA VIKUNDI VYA KIJAAMII


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba akisalimia  na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Bi Virginia Blaser aliyefika ofisini kwa Waziri huyo kwa lengo la kujadiliana namna wanayoweza kusaidia Mashirika na vikundi vya kijamii katika masuala ya usalama wa raia na haki zao.

Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Bi Virginia Blaser akisaini kitabu cha wageni alipofika ofisi za Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi alipomtembelea waziri wa wizara hiyo (anayesoma kadi) kwaajili ya kujadiliana namna wanayoweza kusaidia Mashirika na vikundi vya kijamii katika masuala ya usalama wa raia na haki zao. Wa kwanza kulia ni  Mwakilishi wa Ubalozi wa Marekani nchini, Jamal Jafari.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba akisisitiza jambo wakati alipokua akiongea na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Bi Virginia Blaser aliyefika ofisini kwa Waziri huyo kwa lengo la kujadiliana namna wanayoweza kusaidia Mashirika na vikundi vya kijaa katika masuala ya usalama wa raia na haki zao. Kaimu Balozi huyo aliambatana na Jamal Jafari ambaye ni aliambatana na Mwakilishi wa Ubalozi wa Marekani nchini
 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba akimsikiliza Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Bi Virginia Blaser aliyefika ofisini kwa Waziri huyo kwa lengo la kujadiliana namna wanayoweza kusaidia Mashirika na vikundi vya kijaa katika masuala ya usalama wa raia na haki zao. Kaimu Balozi huyo aliambatana na Mwakilishi wa Ubalozi wa Marekani nchini, Jamal Jafari.

Comments