- Get link
- Other Apps
Featured Post
Posted by
Maendeleo Vijijini
on
- Get link
- Other Apps
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akihutubia wananchi wa Mtwara katika siku ya mwisho wa ziara yake katika
Viwanja vya Mashujaa mkoani Mtwara.
Wananchi wa Mtwara wakifurahia hotuba iliyokuwa ikitolewa na Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika Viwanja vya
mashujaa mkoani Mtwara.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiwaaga wananchi wa Mtwara mara baada ya kumaliza kuwahutubia katika viwanja
vya Mashujaa mkoani Mtwara-PICHA NA IKULU
Comments
Post a Comment